Sayansi

Sayansi

Sayansi ni maarifa yanayopatikana kwa kufanya vitendo, kutazama na kujaribu kweli ambazo zimebainishwa hazijathibitishwa.

Mara nyingi Galileo Galilei anahesabiwa kuwa baba wa sayansi ya kisasa.

Kuna sayansi mbalimbali ambazo huainishwa katika makundi yafuatayo:

Sayansi Asili k.m.

  • Biolojia
  • Jiografia
  • Zoolojia

Sayansi Umbile k.m.

  • Fizikia
  • Hisabati
  • Kemia

Sayansi Jamii k.m.

  • Akiolojia
  • Elimu
  • Saikolojia
  • Siasa

Sayansi Tumizi k.m.

  • Teknolojia
  • Uhandisi

Pia, kuna sayansi zinazohusu mada mbalimbali:

  • Maarifa
  • Unajimu
  • Tiba

https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Sayansi