Sayansi
Sayansi ni maarifa yanayopatikana kwa kufanya vitendo, kutazama na kujaribu kweli ambazo zimebainishwa hazijathibitishwa.
Mara nyingi Galileo Galilei anahesabiwa kuwa baba wa sayansi ya kisasa.
Kuna sayansi mbalimbali ambazo huainishwa katika makundi yafuatayo:
Sayansi Asili k.m.
- Biolojia
- Jiografia
- Zoolojia
Sayansi Umbile k.m.
- Fizikia
- Hisabati
- Kemia
Sayansi Jamii k.m.
- Akiolojia
- Elimu
- Saikolojia
- Siasa
Sayansi Tumizi k.m.
- Teknolojia
- Uhandisi
Pia, kuna sayansi zinazohusu mada mbalimbali:
- Maarifa
- Unajimu
- Tiba