{"id":31,"date":"2022-03-23T17:40:47","date_gmt":"2022-03-23T17:40:47","guid":{"rendered":"https:\/\/7hi7.com\/sw-ke\/?page_id=31"},"modified":"2022-03-23T17:40:47","modified_gmt":"2022-03-23T17:40:47","slug":"binadamu","status":"publish","type":"page","link":"https:\/\/7hi7.com\/sw-ke\/binadamu\/","title":{"rendered":"Binadamu"},"content":{"rendered":"\n<h1 class=\"wp-block-heading\">Binadamu<\/h1>\n\n\n\n<p>Binadamu\u00a0(pia\u00a0mwanadamu) ni\u00a0neno\u00a0lenye\u00a0asili\u00a0ya\u00a0Kiarabu\u00a0linalomaanisha &#8220;Mwana\u00a0wa\u00a0Adamu&#8221;, anayeaminiwa na\u00a0dini\u00a0za\u00a0Uyahudi,\u00a0Ukristo\u00a0na\u00a0Uislamu\u00a0kuwa ndiye\u00a0mtu\u00a0wa kwanza.<\/p>\n\n\n\n<p>Kisayansi&nbsp;jina&nbsp;hilo linaweza kutumika kwa maana ya&nbsp;Homo sapiens&nbsp;ili kumtofautisha na&nbsp;viumbehai&nbsp;wengine wa&nbsp;jenasi&nbsp;Homo&nbsp;ambao wote walitoweka walau miaka 12,000 hivi iliyopita.<\/p>\n\n\n\n<p>Watu wote walioko leo hii ni&nbsp;spishi&nbsp;ileile na tofauti zinazoonekana kati ya&nbsp;maumbile&nbsp;yao katika sehemu mbalimbali za&nbsp;dunia&nbsp;ni ndogondogo tu.<\/p>\n\n\n\n<p>Utafiti&nbsp;juu ya&nbsp;DNA&nbsp;umethibitisha kwamba binadamu wote wametokana na watu waliokuwepo&nbsp;Afrika&nbsp;walau miaka 300,000 hivi iliyopita.<\/p>\n\n\n\n<p>Kwa namna ya pekee,&nbsp;upimaji&nbsp;wa&nbsp;DNA ya mviringo, ambayo kila mmoja anarithi kwa&nbsp;mama&nbsp;tu, umeonyesha kuwa binadamu wote waliopo&nbsp;duniani&nbsp;wanachanga mama mmoja aliyewahi kuishi miaka 160,000 hivi iliyopita[2].<\/p>\n\n\n\n<p>Halafu upimaji wa&nbsp;kromosomu Y, ambayo kila&nbsp;mwanamume&nbsp;anarithi kwa&nbsp;baba&nbsp;tu, umeonyesha kuwa wanaume wote waliopo duniani wanachanga baba mmoja aliyewahi kuishi walau miaka 120,000 hivi iliyopita[3], kidogo tu kabla ya watu kuanza kuenea katika&nbsp;bara&nbsp;la&nbsp;Asia&nbsp;labda kufuatia&nbsp;pwani&nbsp;za&nbsp;Bahari ya Hindi.<\/p>\n\n\n\n<p>Hata hivyo, miaka hii ya mwisho imegundulika katika baadhi ya wanaume wenye&nbsp;asili&nbsp;ya&nbsp;makabila&nbsp;ya&nbsp;Wabangwa&nbsp;na&nbsp;Wambo&nbsp;(Camerun,&nbsp;Afrika ya Kati) aina ya kromosomu Y tofauti sana na ile ya wanaume wengine wote waliowahi kupimwa, kiasi cha kukadiria zimetofautiana miaka 350,000 hivi iliyopita.<\/p>\n\n\n\n<p>Vilevile, upimaji wa&nbsp;DNA ya mstari&nbsp;kwa jumla umeonyesha uwezekano wa kwamba baadhi ya binadamu wa leo, wale wasio wa&nbsp;Kusini kwa Sahara, wana&nbsp;asilimia&nbsp;1-6 ya&nbsp;urithi&nbsp;wa&nbsp;kibiolojia&nbsp;kutoka kwa aina nyingine za Homo, hususan&nbsp;Homo neanderthalensis, ile ya&nbsp;pango la Denisova&nbsp;na ile iliyorithiwa na baadhi ya watu wa&nbsp;visiwa vya Andaman&nbsp;(India).<\/p>\n\n\n\n<p>Kama hao waliweza kweli kuzaliana na\u00a0Homo sapiens\u00a0na kuacha\u00a0uzao\u00a0uliojiendeleza maana yake walikuwa\u00a0spishi\u00a0moja na yeye. Hapo asili ya binadamu inatakiwa kuhesabiwa ya zamani zaidi sana kuliko miaka 200,000 iliyofikiriwa kwanza[4].<\/p>\n\n\n\n<p><a href=\"https:\/\/sw.m.wikipedia.org\/wiki\/Binadamu\">https:\/\/sw.m.wikipedia.org\/wiki\/Binadamu<\/a><\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>Binadamu Binadamu\u00a0(pia\u00a0mwanadamu) ni\u00a0neno\u00a0lenye\u00a0asili\u00a0ya\u00a0Kiarabu\u00a0linalomaanisha &#8220;Mwana\u00a0wa\u00a0Adamu&#8221;, anayeaminiwa na\u00a0dini\u00a0za\u00a0Uyahudi,\u00a0Ukristo\u00a0na\u00a0Uislamu\u00a0kuwa ndiye\u00a0mtu\u00a0wa kwanza. Kisayansi&nbsp;jina&nbsp;hilo linaweza kutumika kwa maana ya&nbsp;Homo sapiens&nbsp;ili kumtofautisha na&nbsp;viumbehai&nbsp;wengine wa&nbsp;jenasi&nbsp;Homo&nbsp;ambao wote walitoweka walau miaka 12,000 hivi iliyopita. Watu wote walioko leo hii ni&nbsp;spishi&nbsp;ileile na tofauti zinazoonekana kati ya&nbsp;maumbile&nbsp;yao katika sehemu mbalimbali za&nbsp;dunia&nbsp;ni ndogondogo tu. Utafiti&nbsp;juu ya&nbsp;DNA&nbsp;umethibitisha kwamba binadamu wote wametokana na watu waliokuwepo&nbsp;Afrika&nbsp;walau miaka 300,000 hivi iliyopita. [&hellip;]<\/p>\n","protected":false},"author":1,"featured_media":0,"parent":0,"menu_order":0,"comment_status":"closed","ping_status":"closed","template":"","meta":{"footnotes":""},"class_list":["post-31","page","type-page","status-publish","hentry"],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/7hi7.com\/sw-ke\/wp-json\/wp\/v2\/pages\/31","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/7hi7.com\/sw-ke\/wp-json\/wp\/v2\/pages"}],"about":[{"href":"https:\/\/7hi7.com\/sw-ke\/wp-json\/wp\/v2\/types\/page"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/7hi7.com\/sw-ke\/wp-json\/wp\/v2\/users\/1"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/7hi7.com\/sw-ke\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=31"}],"version-history":[{"count":1,"href":"https:\/\/7hi7.com\/sw-ke\/wp-json\/wp\/v2\/pages\/31\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":32,"href":"https:\/\/7hi7.com\/sw-ke\/wp-json\/wp\/v2\/pages\/31\/revisions\/32"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/7hi7.com\/sw-ke\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=31"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}